Bohari ya Dawa Msumbiji Yapongeza Juhudi za MSD Kuboresha Huduma, Pamoja na Ujenzi wa Viwanda
Ujumbe kutoka Bohari ya dawa (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) Msumbiji leo wametembelea MSD Makao Makuu kwa lengo la kujifunza na kubadirishana uzoefu.
Ujumbe huo Msumbiji ulifanya ziara ya kutembelea maghala ya kuhifadhia bidhaaza afya ya MSD pamoja na kiwanda cha kuzalisha barakoa na kiwanda cha kuzalisha vidonge KPI.