Skip to main content

Bidhaa za Mama na Mtoto

Hadi kufikia mwaka 2025 MSD tayari imekamilisha ununuzi na usambazaji wa vifaa tiba vya kupambana na vifo vya uzazi pingamizi CEmONC kwenye vituo vya kutolea huduma za afya. MSD imeweza kufanya ununuzi wa vifaa tiba vyenye thamani ya Tzs. 100,182,390,897.40 kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma za afya 414. Katika vifaa tiba hivi asilimia themanini (80) imejikita katika vifaa vya upasuaji kama taa za upasuaji, mashine za usingizi, vitanda vya upasuaji ambavyo vimeenda okoa Maisha ya wamama na Watoto nchini Tanzania.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.