Skip to main content
  • MSD Yapokea Shehena ya Vipimo vya UKIMWI na Kaswende

    Katika kuadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani MSD imeendelea kupokea na kusambaza bidhaa mbalimbali za afya za kupambana na kudhibiti maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Pamoja na Kaswende.

    Mkurugenzi Mkuu wa MSD Mavere Tukai ameeleza kuwa miongoni mwa bidhaa za afya ambazo kwa sasa inauhitaji mkubwa na inaendelea kusambazwa na MSD kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ni vipimo vya kupima maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na gonjwa la zinaa la Kaswende (HIV/ Syphilis Duo).

  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Atangaza Neema Sekta ya Afya Nchini

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwezesha upatikanaji wa wataalam, dawa, vitendanishi na vifaa tiba.

  • Katibu Mtendaji SADC Atembelea MSD

    DAR ES SALAAM: 

    Katibu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)  Mhe. Elias Mpedi Magosipamoja na ujumbe wake, wametembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD), yaliyokoKeko jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujionea jinsi taasisi hiyo inavyotekeleza majukumu yake sambamba na kupokea mrejesho wa maendeleo ya utekelezaji wa mpango wa manunuzi ya pamoja (SPPS) kwaajili ya nchi wanachana.

  • Mkurugenzi Mkuu MSD, Abainisha Mafanikio ya MSD Chini ya Awamu ya Sita

    DODOMA:

    Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Bw. Mavere Tukai leo tarehe 17/10/2022amekutana na waandishi wa habari Mkoani Dodoma na kutoamrejesho juu ya mafanikio ya Bohari ya Dawa (MSD) chini yaserikali ya awamu ya sita, inayoongozwaMhe. Samia Suluhu Hassan.

    Bw. Mavere amesema katika mwaka wa fedha 2022/23,MSD imee ndelea kufanya maboresho ya kiutendaji kamailivyoelekezwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, huku mabadiliko hayoyakilenga kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afyapamoja na utawala bora.

  • Tanzania Yapokea Msaada Kutoka Benki ya TDB

    DAR ES SALAAM: 

    Serikali ya Tanzania, imepokea msaada wa shilingi milioni 230 kutoka Benki ya Biashara na Maendeleo (TDB) kwa ajili ya kununulia vifaa vya kujikinga na kupambana na ugonjwa wa Uviko-19.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.