Skip to main content
  • MSD YATUNUKIWA TUZO YA UMAHIRI WA UTOAJI HUDUMA

    Bohari ya Dawa (MSD), imetunukiwa tuzo ya umahiri wa utoaji huduma kwenye sekta ya Famasi nchini (Award of Service Excellence in Pharmaceutical Sector) kupitia tuzo za mwaka za Tanzania Service Excellence Award 2024, zilizoandaliwa na taasisi ya Charted Institute of Customer Service (CICM) Tunzo hizo zimetolewa hapo jana na taasisi hiyo katika hafla maalum iliyofanyika katika ukumbi wa Holiday In, jijini Dar es Salaam 

  • BOHARI YA DAWA ( MSD) IMEINGIA MAKUBALIANO NA JESHI LA POLISI TANZANIA

    Bohari ya Dawa ( MSD) imeingia makubaliano na Jeshi la Polisi Tanzania yanayolenga  kuimarisha ulinzi na usalama wa bidhaa za afya zinazosambazwa na MSD nchini. Makubaliano hayo pia yamelenga kusimamia kikamilifu mfumo wa usafirishaji wa bidhaa za afya na hivyo kuufanya kuwa salama na kuhakikisha bidhaa za afya zinafika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya zikiwa salama.  

  • MAFANIKIO YA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA

    UPATIKANAJI WA BIDHAA ZA AFYA

  • MSD Yaja na Mpango Kabambe Kuhudumia Wateja Wakubwa (Corporate Customers)

    Bohari ya Dawa (MSD) imekutana na wateja wake Wakubwa(Corporate Customers) wanaohudumiwa na Kanda ya MSD Dodoma, kujadiliana na kuweka mikakati ya pamoja ya kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa uhakika wa bidhaa za afya kwa ajili ya huduma maalum zinazotolewa na wateja hao.

  • MAFANIKIO YA MSD KATIOKA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

    UPATIKANAJI WA BIDHAA ZA AFYA

    Bohari ya Dawa imeendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya katika vituo vya kutolea huduma za afya. Uwepo wa bidhaa za afya umekuwa ukipimwa kwa bidhaa za afya ashiria 290 lakini kutokana na kuimarishwa mifumo ya utoaji huduma na nia ya Serikali kuboresha maisha ya Watanzania kuanzia mwaka wa fedha 2023/24, idadi ya bidhaa ashiria zinazotumika kupima hali ya upimaji wa bidhaa za afya zimeongezeka kutoka bidhaa 290 hadi kufikia bidhaa 382.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.