Skip to main content
  • Kamati ya Afya Bunge la Zambia, Yaipongeza MSD kwa Maboresho ya Utendaji na Ujenzi wa Viwanda

    Kamati ya Bunge ya Afya, Maendeleo na Huduma za Jamii,ya Bunge la Zambia wamevutiwa na hatua ya Bohari ya dawa (MSD) kuanza kuzalisha baadhi ya bidhaa za afya kwa kutumia wataalam wake wa ndani.

    Hayo yamebainishwa hii leo, tarehe 26/5/2022 baada ya Kamati hiyo ya Afya kutoka Zambia, kuitembelea MSD kwa lengo la kujifunza na kubadilishana uzoefu katika masuala yanayohusu mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya.

  • Mkurugenzi Mkuu MSD, Afanya Mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu PPRA

    Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Bw. Mavere Ali Tukai, amefanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA) Bw. Eliakim C. Maswi, juu ya namna bora ya kuboresha ununuzi wa bidhaa za afya, kufuatia changamoto kadhaa zinazoikabili Bohari ya Dawa kwenye eneo hilo.

    Mavere amemuelezea Afisa Mtendaji Mkuu huyo mtazamo wake juu ya ununuzi kwenye nyanja mbalimbali kama vile sheria, taratibu, miongozo pamoja na mfumo wa TANEPS.

  • MSD now manufacture surgical masks

    Furthermore, in order to strengthen availability of medicines closer to people, MSD has well established community outlets (MCOs) located at Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam, Sekou-Toure Hospital in Mwanza, near Mbeya Regional Referral Hospital, Mount Meru Hospital in Arusha, Chato District Hospital in Geita, Ruangwa District Hospital in Lindi and  Mpanda District Hospital in Katavi.

    Mission

    To make quality health products accessible to all public health facilities in Tanzania.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.