Usambazaji wa Vifaa vya CEmONC, Mikoa ya Dodoma na Singida
Bohari ya Dawa (MSD), kupitia Kanda yake ya Dodoma inayohudumia Mikoa ya Singida na Dodoma imeendelea na zoezi la usambazaji wa vifaa vya huduma ya dharula ya mama na mtoto (Comprehensive Emergency Obstetric and New Born Care Services – CEmONC).