Skip to main content
  • MSD Yatoa Mafunzo kwa Wataalamu wa Vifaa Tiba na Maabara Nchini.

    Mafunzo ya siku tatu kwa wahandisi vifaa tiba na wataalam wa Maabara nchini, yamefungwa leo mkoani Morogoro.

    Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa wakati mmoja kwa mikoa mitano kwa ajili ya wataalam wa nchi nzima yalikuwa na lengo la kuwafundisha wataalamu wa usimikaji, matumizi na ukarabati wa mashine za maabara na vifaa vinavyosambazwa na MSD.

  • Usambazaji wa Vifaa vya CEmONC, Mikoa ya Dodoma na Singida

    Bohari ya Dawa (MSD), kupitia Kanda yake ya Dodoma inayohudumia Mikoa ya Singida na Dodoma imeendelea na zoezi la usambazaji wa vifaa vya huduma ya dharula ya mama na mtoto (Comprehensive Emergency Obstetric and New Born Care Services – CEmONC). 

  • Serikali Kuendelea Kuunga Mkono, Ujenzi wa Viwanda vya Dawa na Vifaa Tiba vya MSD.

    Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo amezindua Bodi mpya ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) na kuwaelekeza wajumbe hao Bodi kuhakikisha wanawezesha kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya zenye ubora na bei nafuu.

     Waziri Ummy amewaeleza wajumbe hao wa Bodi ya Wadhamini kuwa watapimwa kwa kuangalia hali halisi ya upatikanaji wa bidhaa za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

  • Mhe. Ummy Mwalimu Azindua Bodi Mpya ya Wadhamini ya MSD.

    Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu leo amezindua Bodi mpya ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) na kuwaelekeza wajumbe hao Bodi kuhakikisha wanawezesha kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya zenye ubora na bei nafuu.

     Waziri Ummy amewaeleza wajumbe hao wa Bodi ya Wadhamini kuwa watapimwa kwa kuangalia hali halisi ya upatikanaji wa bidhaa za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

  • Bohari ya Dawa Msumbiji Yapongeza Juhudi za MSD Kuboresha Huduma, Pamoja na Ujenzi wa Viwanda

    Ujumbe kutoka Bohari ya dawa (CMAM) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (ANARME) Msumbiji leo wametembelea MSD Makao Makuu kwa lengo la kujifunza na kubadirishana uzoefu.

     Ujumbe huo Msumbiji ulifanya ziara ya kutembelea maghala ya kuhifadhia bidhaaza afya ya MSD pamoja na kiwanda cha kuzalisha barakoa na kiwanda cha kuzalisha vidonge KPI.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.