Skip to main content
     
16:00
MSD HQ, Keko Mwanga

Mkurugenzi Mkuu MSD, Awafunda Wataalamu Sekta ya Afya

Mkurugenzi Mkuu wa MSD Meja Jenerali Gabriel Saul Mhidze amesema kuwa na wataalam wa ndani wanaomudu kutumia vifaa vya maabara na kuvikarabati wenyewe ni hatua nzuri itakayopunguza gharama. Ameyasema hayo alipozungumza na Wataalamu wa maabara, Mafundi Sanifu na Wahandisi vifaa tiba kutoka MSD,Halmashauri na Hospitali mbalimbali nchini, ambao wapo kwenye mafunzo ya namna ya kufunga, kutumia na kuzifanyia matengenezo mashine mbalimbali za maabara  ambazo zinatarajiwa kufungwa nchi nzima. Mashine hizo za maabara zitapunguza gharama za vipimo vya uchunguzi wa magonjwa kwa zaidi ya asilimia hamsini.

About MSD

Medical Stores Department (MSD) was established by the Act of Parliament No.13 of 1993 as an autonomous department under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children responsible for developing, maintaining and managing an efficient and cost effective system of procurement, storage and distribution of approved medicines and medical supplies required for use by all public health facilities.