Dkt. Gwajima, Afanya Ziara MSD

DK_Gwajima.jpg

                                                   Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima leo tarehe 3 mwezi wa 7,2021, amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimentiya Bohari ya Dawa (MSD) Kwenye ukumbi wa Bohari ya Dawa ulioko Keko jiji Dar es salaam, lengo likiwa ni kuangalia namna gani ya kuboresha huduma na upatikanaji wa bidhaa za afya nchini.

 

Dkt. Gwajima licha ya kukutana na Menejimenti ya MSD katika kikao cha ndani, alitembelea kiwanda cha kuzalisha Dawa cha Keko (Keko Pharmaceutical) kilichopo jijini Dar es Salaam, kinachosimamiwa na Bohari ya Dawa (MSD).

 

Katika Ziara hiyo Dkt.Gwajima alijionea uzalishaji wa dawa ambapo hivi Sasa kinazalisha aina kumi za dawa, zikiwemo za maumivu aina mbili na nyingine 8 zikiwa ni dawa za kuua vimelea vya magonjwa ya kuambukiza (antibacteria/antibiotics).

waziri_Gwajima_na_Menejiment.jpg

                         Dkt. Dorothy Gwajima akiwa kwenye kikao cha ndani na Menejimenti ya MSD

Hatahivyo, licha ya kazi kubwa iliyofanyika kiwandani hapo, Dkt. Gwajima alitoa maelekezo mbalimbali kwa uongozi wa kiwanda hicho, kwaajili ya kuboresha utendaji, uzalishaji, na taarifa muhimu zinazohusu kiwanda hicho.

 

Katika hatua nyinine,Dkt. Gwajima alitembelea Maghala ya kuhifadhia dawa, yaliyoko Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD), Keko jijini Dar es Salaam, na kuijonea uhifadhi wa dawa, sambamba na changamoto mbalimbali zinazoikumba Bohari hiyo upande wa uhifadhi na kuagiza mabadiliko kwenye maeneo mbalimbali ili kuboresha huduma za usambazaji wa bidhaa za dawa nchini


KIWANDA_KEKO.jpg

Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa MSD Mej.Gen Gabriel Saul Mhidze

Matumizi ya Cheti cha Dawa Kilichoboreshwa

MSASI_PRESS.png

                                                   Mfamasia Mkuu wa Serikali, Bw. Daudi Msasi

Mfamasia Mkuu wa Serikali Bw. Daudi Msasi, amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri, Waganga Wafawidhi na Wafamasia kote nchini Kuzingatia na kusimamia matumizi ya miongozo na nyenzo za usimamizi wa bidhaa za afya, ili kupunguza changamoto ya upatikanaji wa dawa vituoni.

 Bw. Msasi amesisitiza kwamba kutozingatia matumizi sahihi ya miongozo na nyenzo muhimu katika utunzaji na utoaji wa dawa, kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali katika upatikanaji wa dawa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

 Bw. Msasi ametoa rai hiyo alipozungumza na waandishi wa habari kufafanua kuhusu matumizi ya cheti cha dawa kwa ngazi zote za kutolea huduma za afya nchini.

 Aidha, Bw. Msasi amevielekeza vituo vya kutolea huduma za afya nchini kuhakikisha vinanunua vitabu vya “Prescription” ya dawa vilivyoboreshwa kutoka MSD, na pale vinapokosena kwenye Bohari basi wapakue kutoka tovuti ya Wizara ya afya.

 

IMG_20210703_113328_284.jpg

                             Bw. Daudi Msasi akizungumza mbele ya waandishi wa habari

Ameongeza kuwa vitabu hivyo vya “Prescription” iliyoboreshwa vitaanza rasmi kutumika kuanzia julai 10, mwaka 2021, lengo likiwa ni kuwezesha kutunza kumbukumbu sahihi za matumizi ya dawa na kurahisisha ufuatiliaje wake.

Tayari Bohari ya Dawa (MSD), imekwisha chapisha jumla ya Vitabu vya “ Prescription” takribani elfu sitini na tano (65,000), vikingoja kusambazwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini.

MSD Yashinda Tuzo za Mwajiri Bora Tanzania

dadaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.jpg

                                

 

 

Dar es Salaam. 

 

Taasisi ya Serikali inayojihusisha na ununuziutunzaji na usambazaji dawavifaatiba 

na vitendanishi vya maabara nchini Bohari ya Dawa (MSD) imeshindatuzo 2 za Mwajiri 

bora za ATE (Association of Tanzania Employers) kwamwaka 2019.

 

Pamoja na kushinda tuzo hizo zilizofanyika Serena Hotel Desemba 18, MSD imeingia

kwenye nafasi ya kumi bora kwamwajiri bora Tanzania kwa kushika nafasi ya sita na 

kuwa miongoni mwa taasisi chache za umma zilizoshinda.

 

Tuzo hizo ni pamoja na mwajiri bora katika utumishi wa umma(overall public sector

employer), mwajiri bora anayeangalia usawa wa maisha ya kazi (work life balance)

na mshindi wa pili kipengele cha mwajiri bora wa kizalendo (local employer).

 

Katika tuzo ya mwajiri bora katika utumishi wa ummanafasi ya mshindi wa pili

 imekwenda kwa Huduma za Mawasiliano ya Simu nchini (TTCL) na nafasi ya tatu

imekwenda kwa Benki ya Posta Tanzania (TPB Bank Plc).

 

Katika taasisi na mashirika yaliyoingia nafasi 10 bora kwa tuzo hizo mwakahuu ni pamoja na kampuni ya bia (TBL) iliyoshika nafasi ya kwanza, Geita Gold Mining Limited, Puma Energy Tanzania Limited, TPC Limited, Cocacola Kwanza Limited, Bohari ya Dawa (MSD), Exim Bank (T) Limited, Standard Chertered Bank, Songas Limited na Vodacom Tanzania 

iliyoshika nafasi ya 10.

 

AkizungumziaushindihuoMkurugenziMkuu waMSD BwLaureanRugambwaBwanakunu,

 ameishukuruBodi ya wadahamini ya taasisihiyomenejimentipamoja na wafanyakazi

wotekwamafanikiohayokwaniumoja na ushirikianowao katika majukumu ya kila siku

 ndioumepelekeawawezekuibukawashindi.

 

Aidha amewasihi kuongeza juhudi katika utekelezaji wa majukumu yao ili mwaka ujao (2020) taasisi hiyo iweze kujinyakulia ushindi mwingi zaidi ya mwaka huuAmeongeza kuwa mwisho watuzo hizo ndio mwanzo wa tuzo nyiginehivyo ni vyema kujipanga kwaajili ya mwaka Mpya.

 

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa RasilimaliWatu wa Taasisi hiyo ndugu.  

Frankie Nkoneamesema ushindi huo umetokana na ushirikiano madhubuti kati ya 

wafanyakazimenejimentiwizara katika utekelezaji wa mzuri wa mpango mkakati 

wa MSD, pamoja na mahusiano mazuri na chama cha wafanyakazi.

 

Naye Kaimu Meneja wa Rasilimali Watu wa MSD Bi.Siku Baleja ameonyesha kufurahia ushindi huoambapo licha ya kuwapongeza wafanyakazi wenzake kwa ushindiamebainisha kwamba anatazamia mwaka ujao MSD itashinda tuzo nyingi zaidikwani wana kila sababu na vigezo vyakuwa washindi.

 

 

 

launch event for mass replacement campaign (MRC)

To ensure that Tanzania is free from Malaria, the National Malaria Control Program (NMCP)under the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MOHCDGEC) has been spearheading the National Insecticide Treated Nets (NATNETS) Programme since 2000 by planning, implementing and managing of the scaling-up of Insecticide Treated Net (ITN) use in Tanzania.

Three mass replacement campaigns have been implemented since 2015 and the fourth one is under implementation with effect from February 2020. Due to its competency, experience, and its role in the health commodity supply chain in Tanzania, MSD was assigned by the MOHCDGEC to facilitate distribution of LLINs to 50 councils throughout Tanzania. A total of 7,097,565 LLINs are to be distributed to 50 selected councils in ten (10) regions namely; Mbeya, Njombe, Songwe, Rukwa, Iringa, Singida, Dodoma, Manyara, Tanga, and Kilimanjaro.

For successful distribution of the LLINs, NMCP under MOHCDGEC initiated the launching event for the Mass Replacement Campaign 2020. The launching event was successfully conducted on 28th May 2020 at Chunya district in Mbeya region by Hon.  Ummy Mwalimu (MP), Minister of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children.

During the launch, the Minister expressed a vote of thanks to the Global Fund (GF) for the support that aims at maintaining universal access of the population to Long-Lasting Insecticide Treated Nets (LLINs).The Hon Minister emphasized that an Insecticide-treated net (ITN) is a mosquito net that repels, disables and/or kills mosquitoes when they come into contact with insecticides on the netting material. She further explained that Malaria prevalence rate has decreased by 50% from 14.8% in 2015 to 7.3% in 2017. In the event, the Minister conveyed continuous gratitude on the Government’s commitment in this year’s MRC and mentioned the confidence of the Ministry in MSD for its role in distribution.

The Minister stated that, MSD shall distribute all LLINs to 50 councils in 10 regions as scheduled under the good leadership of the Major General Gabriel Saul Mhidze (Dr), the Director General of Medical Stores Department. On the same note, the Director General of MSD expressed MSD’s commitment towards efficient distribution of LLINs.

The Minister on behalf of the Government expressed appreciation towards toall individuals and organizations who are supporting and collaborating in implementing the LLINs mass replacement campaign in Tanzania. She insisted that the Government is grateful to the Global Fund, President’s Malaria Initiative, for the financial and technical support.

Makamu wa Rais Aipigia Chapuo MSD Kusambaza Dawa SADC

samia.jpg

                                ,

 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa,

Bohari ya Dawa (MSD) imejipanga
vizuri kuhakikishajukumu la manunuzi ya

dawa ya pamoja kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi zilizoko
Kusini

mwa Afrika (SADC)linatekelezwa kwa ufanisi.

 

                              Makamu wa Rais ameyasema hayo leo Alhamisi Novemba 7, 2019

                            wakati akifungua Mkutano wa mawaziri wanaoshughulikia sekta ya

                    afya na UKIMWI kutokanchi 16 wanachama uliomalizika leo, jijini Dar es Salaam.

 

                         Amesisitiza kuwa MSD kwa sasa ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha

                      mchakato huo, kwa kusaini mikataba na wazalishaji baada ya kutangaza zabuni.

 

bw.kunu.jpg

           

                             “Ninapenda kuwadhibitishia kwamba MSD imejipanga vizuri kuhakikisha

                            jukumu hili la uratibu wa manunuzi ya pamoja linatekelezwa kwa ufanisi

                        na kwamba hivi sasa taasisi hiyo inaendelea na kusaini mikataba na wazalishaji

                                         wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi,” alisema Samia

 

                            Ameongeza kuwa Serikali imejenga kiwanda cha kutengeneza dawa

                        ya viuadudu chenye uwezo wa kuzalisha lita milioni 6 kwa mwaka na kwamba

                  dawa zinazozalishwa zinatumika kudhibiti wadudu dhurifu wakiwemo viluwiluwi vya

                                                        mbu wanaosababisha malaria.

 

mkutano_samia.jpg

    

                   “Nitumie fursa hii kuhamasisha nchi za SADC zinunue dawa ya viuadudu inayozalishwa

                    na kiwanda hiki kilichoko nchini kupitia utaratibu wa manunuzi ya pamoja wa nchi za

                                         SADC unaoratibiwa na Bohari ya Dawa MSD,” amesema.

 

 

                         Novemba mwaka 2017 Tanzania kupitia Bohari ya Dawa (MSD) ilishinda zabuni ya

                            usambazaji wa dawa kwa nchi za SADC jukumu ambalo ilipewa na mkutano wa

                                         mawaziri wa afya na UKIMWI kutoka nchi wanachama.

 

 

                   Mchakato wa kusaini mikataba unaenda sambamba na kutoa mafunzo kwa watendaji

                      kutoka nchi wanachama juu ya namna ya kutumia mfumo wa kielektroniki wa

                    uagizaji wa dawa, ambao MSD unautumia katika uagizaji, ununuzi na usambazaji.

 

 

                                  Aidha mawaziri hao watapata fursa kuitembelea MSD siku ya  kesho

                                           Ijumaa Tarehe 7, 11, 2019 ili kujionea utendaji wake.

 


 

 

Lock full review www.8betting.co.uk 888 Bookmaker