Waziri Bashungwa Asema Serikali Imeweka Mazingira Rafiki kwa Uanzishwaji wa Viwanda Nchini

waziri_pp.jpg

                                ,

 

Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Mhe. Innocent Bashungwa amefungua mkutano

wa kwanza wa kimataifa wa wawekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba,ulioandaliwa

na Bohari ya Dawa (MSD).

 

Waziri huyo ameeleza kuwa kufuatia sera ya Tanzania ya viwanda, serikali

imewekamazingira rafiki ya uwekezaji wa viwanda vya kuzalisha dawa nchini ili

kuwawezesha wawekezaji wenye nia.

 

Amesema hatua hiyo itapunguza pia utegemezi mkubwa wa dawa na vifaa tiba

kutokanje ya nchi, kwani kwa sasa taifa linapoteza fedha nyingi za kigeni katika

kununulia bidhaa hizo za afya.

 

 

Naye Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laurean Bwanakunu amesema wameandaa mkutano

huo ili kuweka mazingira ya uwazi kupata wawekezaji,ambapo wamewaeleza matokeo

ya utafiti uliofanywa na mshauri mwelekezi wa mradi wa uanzishaji viwanda vya dawa

kwa ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi.

 

Lock full review www.8betting.co.uk 888 Bookmaker